Monday, April 14, 2014

Tunduma sasa karaha

Posted by Unknown On 12:34 AM No comments
Malori yanayosubiri kuvuka kwenda nchi za kusini mwa Afrika yamekwama sasa kwa takriban wiki mbili kwa kinachoelezwa kuwa ni ubovu wa barabara upande wa Nakonde Zambia. Pamoja na sababu hiyo serikali ya Tanzania haijaandaa maeneo maalum kwa ajili ya maegesho ya magari na hivyo kuwalazimu madereva wengi kuegesha magari yao kando ya barabara kuu itokayo Dar es salaam kwenda Zambia.

Huko ni kukwama kiuchumi kwani shughuli za usafirishaji zinaposimama kwa sababu zisizo za lazima kuwepo na ufuatiliaji anayesababisha achukuliwe hatua.

Hiyo ndiyo hali halisi

0 comments:

Post a Comment

Thank you for reading the article

Site search

    More Text