Monday, December 15, 2008

Posted by Unknown On 7:53 AM No comments
Hizo ndizo zana za uvuvi katika kijiji cha Ikomba ufukweni mwa ziwa Nyasa maarufu kama Matema Beach.




Kazi ya kupiga makasia hufunzwa kwa vijana tangu wangali wadogo. Kijana akifanya mazoezi ya kupiga makasia ufukweni mwa ziwa hilo


Kazi za ufinyanzi zimewafanya wenyeji wa ufukwe huo kuwa maarufu na kuwa chanzo kikubwa cha kipato.

Wanawake husaidia kazi za uvuvi kwa kuchambua dagaa na kuwakausha. Mwanamke huyo hapo chini akichambua dagaa ufukweni.


Kinachovutia zaidi mbali na ufukwe ulivyo bora na safi, ni safu ya milima ya Living Stone inavyopamba mandhari hayo ya Matema.



Kazi za wakazi wa ziwa Nyasa pamoja na uvuvi, pia ni watengenezaji wa vyungu. Kazi ambazo wamekuwa wakirithisha vizazi hadi vizazi

0 comments:

Post a Comment

Thank you for reading the article

Site search

    More Text