Monday, April 20, 2009

JESHI LA POLISI NA ALBINO

Posted by Unknown On 2:36 AM No comments


Wadau hapo juu ni mkuu wa kituo cha polisi mjini Tunduma Ally Wendo akimtaka albino Judith Silwimba kumpa maelezo ya kina juu ya uwepo wa mtuhumiwa aliyemtishia kumuua hapo kijijini Chipaka.


mazungumzo hayo yalizua ubishi kati ya mume wa mlemavu huyo na polisi akidai kuwa ameshakwenda polisi zaidi ya mara tatu lakini hawajamsikiliza na kwamba mtuhumiwa bado yuko huru mitaani.


hapo polisi kazi kwenu

0 comments:

Post a Comment

Thank you for reading the article

Site search

    More Text