Monday, April 20, 2009

MZEE CHILO AKIWA JIJINI MBEYA

Posted by Unknown On 3:21 AM No comments


Mzee Chilo akiwa jijini Mbeya akipika filamu mpya matata na tishio ambayo itakuwa madukani hivi karibuni.

Mzee Chilo alivuma sana katika mchezo maarufu wa Jumba la Dhahabu

0 comments:

Post a Comment

Thank you for reading the article

Site search

    More Text