Monday, September 1, 2014

KIlimo mseto

Posted by Unknown On 1:20 AM No comments
Kuna kila sababu ya wakulima kuangalia upya jinsi tunavyokitegemea kilimo na ni mazao gani tuzalishe. Tukiwa tunatafakari tufanyeje tujaribu kuwekeza katika kilimo cha mazao mbalimbali ambayo soko lake ni la uhakika zaidi.
 Tunapotembelea mashamba ya wenzetu katika utekelezaji wa kilimo kwanza kwa vitendo tujifunza kuwa kilimo mseto ndicho kitatusaidia. Tulime migomba, tufuge samaki, tufuge nyuki bila kusahau mkombozi wa maskini yaani ufugaji wa kuku wa kienyeji.
 KIlimo mseto kimesisitizwa katika mbio za mwenge 2014 kama hapo chini palivyo.
 Kilimo ni biashara kama hivi
 Huo ni ufugaji wa samaki

0 comments:

Post a Comment

Thank you for reading the article

Site search

    More Text